<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<feed xmlns="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/">
<title>Journal Article</title>
<link href="http://41.59.91.195:9090/handle/123456789/68" rel="alternate"/>
<subtitle/>
<id>http://41.59.91.195:9090/handle/123456789/68</id>
<updated>2026-05-08T13:25:38Z</updated>
<dc:date>2026-05-08T13:25:38Z</dc:date>
<entry>
<title>Uchanganuzi wa Mbinu za Kisarufi katika Kampeni za Uchaguzi: Mifano Kutoka Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Mwaka 2015.</title>
<link href="http://41.59.91.195:9090/handle/123456789/217" rel="alternate"/>
<author>
<name>Sovu, Ahmad Y.</name>
</author>
<id>http://41.59.91.195:9090/handle/123456789/217</id>
<updated>2024-06-15T10:00:07Z</updated>
<published>2021-01-01T00:00:00Z</published>
<summary type="text">Uchanganuzi wa Mbinu za Kisarufi katika Kampeni za Uchaguzi: Mifano Kutoka Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Mwaka 2015.
Sovu, Ahmad Y.
Madhumuni makuu ya ushawishi katika kampeni za uchaguzi ni kukubalika. &#13;
Mara nyingi lugha inayotumika katika siasa ina lengo la kusifia au &#13;
kulaumu. Lugha hiyo huwa yenye ubunifu, ya kujenga au kubomoa kwani &#13;
hutumika kama silaha ya kujilinda. Kwa misingi hiyo, makala hii &#13;
inachunguza matumizi ya mbinu za kiisimu katika kampeni za uchaguzi &#13;
yanayowezesha kuvuta hisia na kuteka masikio ya hadhira. Aidha, makala &#13;
hii inabainisha na kujadili matumizi ya mbinu za kisarufi katika mikutano &#13;
ya kampeni za uchaguzi wa Tanzania mwaka 2015. Uchunguzi umeongozwa &#13;
na Nadharia ya Balagha na data zimekusanywa kupitia njia ya maktaba. &#13;
Makala imebaini kuwa katika kampeni za uchaguzi wa mwaka 2015, &#13;
wanasiasa walitumia mbinu za uteuzi wa msamiati/istilahi maalumu, &#13;
matumizi ya viwakilishi nafsi, ukanushi wa sentensi. Makala inatoa &#13;
mchango mkubwa katika kuonesha nguvu ya lugha na ushawishi ya &#13;
wazungumzaji wa kisiasa katika kufanikisha malengo yao ya kisiasa &#13;
ambayo ni kushinda uchaguzi.
JOURNAL ARTICLE
</summary>
<dc:date>2021-01-01T00:00:00Z</dc:date>
</entry>
<entry>
<title>Matumizi ya tamathali za semi za kiswahili katika kampeni za kisiasa: mifano kutoka Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2015</title>
<link href="http://41.59.91.195:9090/handle/123456789/216" rel="alternate"/>
<author>
<name>Sovu, Ahmad Y.</name>
</author>
<id>http://41.59.91.195:9090/handle/123456789/216</id>
<updated>2024-06-15T10:00:02Z</updated>
<published>2018-01-01T00:00:00Z</published>
<summary type="text">Matumizi ya tamathali za semi za kiswahili katika kampeni za kisiasa: mifano kutoka Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2015
Sovu, Ahmad Y.
Electoral campaigns are a means of communicating with voters where politicians &#13;
enter the market for persuade their policies to voters (Wei, 2001). Politicians all &#13;
over the world embellish their language in a unique way to give extra effect and &#13;
force to their message in order to archive their objective of winning more votes.&#13;
This article aimed at examines the use of figures of speech in political campaigns &#13;
and show how they help politicians fulfill their goal of winning the elections and &#13;
contribute to pushing for the community's solidarity. Data for this article has been &#13;
collected in the fields and library through the analysis of documentation and &#13;
interview. Data was analyzed by the approach of discourse analysis, which &#13;
emphasizes that text can be analyzed through dialogue and social contexts. This &#13;
article have noted that politicians have used figures of speech including, metaphor, &#13;
satire, allusion, metonym, irony, simile, personification, rhetoric and euphemism in &#13;
2015 election campaigns to fulfill their goals and to show solidarity for their &#13;
community. This study has contributed to sociolinguistics studies
JOURNAL ARTICLE
</summary>
<dc:date>2018-01-01T00:00:00Z</dc:date>
</entry>
<entry>
<title>Changamoto za Uingizwaji wa Masuala yahusuyo Lugha katika Sera za Elimu na Utamaduni: Haja ya kuwa na Sera Mahususi ya Lugha Tanzania</title>
<link href="http://41.59.91.195:9090/handle/123456789/215" rel="alternate"/>
<author>
<name>Sovu, Ahmad Y.</name>
</author>
<id>http://41.59.91.195:9090/handle/123456789/215</id>
<updated>2024-06-15T09:59:56Z</updated>
<published>2021-10-05T00:00:00Z</published>
<summary type="text">Changamoto za Uingizwaji wa Masuala yahusuyo Lugha katika Sera za Elimu na Utamaduni: Haja ya kuwa na Sera Mahususi ya Lugha Tanzania
Sovu, Ahmad Y.
Makala hii inajadili changamoto mbalimbali zinazohusiana na sera &#13;
ya lugha. Kwa muda mrefu, nchi ya Tanzania haina sera mahususi ya &#13;
lugha, badala yake, masuala ya lugha yameingizwa katika Sera ya &#13;
Utamaduni na Sera ya Elimu. Sera ya lugha ni jumla ya mawazo, &#13;
matamko, sheria, kanuni na taratibu zenye kufafanua utekelezaji wa &#13;
mabadiliko ya matumizi ya lugha (Mekacha, 2000; na Msanjila, &#13;
2009). Aidha, makala inafafanua kuhusu dhana, aina ya sera za &#13;
lugha, na kuonesha namna sera ya lugha kama ilivyoingizwa katika &#13;
Sera ya Utamaduni na Elimu. Data katika makala hii, kwa kiasi &#13;
kikubwa, zimekusanywa kutoka maktaba na kwa wadau mbalimbali &#13;
wa lugha. Changamoto zilizojadiliwa ni pamoja na: kutokuainishwa &#13;
kwa mpango wa utekelezaji wa sera, sera ya lugha kushughulikia &#13;
suala la elimu tu, na kutokupewa nafasi ya lugha nyingine za jamii. &#13;
Mintarafu ya changamoto hizo, makala imebainisha sababu za &#13;
changamoto hizo. Pia, imebainisha umuhimu kuhusu haja ya kuwa na &#13;
sera madhubuti na mahususi ya lugha nchini Tanzania.
Journal article
</summary>
<dc:date>2021-10-05T00:00:00Z</dc:date>
</entry>
<entry>
<title>Factors Influencing Learners’ Preferences of Written Corrective  Feedback by Teachers of English as a Foreign Language:  The Case of Kigamboni Navy Secondary Schools</title>
<link href="http://41.59.91.195:9090/handle/123456789/210" rel="alternate"/>
<author>
<name>Kitalima, Tamasha</name>
</author>
<id>http://41.59.91.195:9090/handle/123456789/210</id>
<updated>2024-06-04T10:18:43Z</updated>
<published>2023-06-01T00:00:00Z</published>
<summary type="text">Factors Influencing Learners’ Preferences of Written Corrective  Feedback by Teachers of English as a Foreign Language:  The Case of Kigamboni Navy Secondary Schools
Kitalima, Tamasha
Research shows that proficiency levels, goals, interests, beliefs, and authentic contexts &#13;
influence learners’ responses to written corrective feedback (WCF). Thus, no one or two &#13;
findings can fit in all second language (SL) teaching/learning contexts. Additionally, in &#13;
the Tanzanian context, studies have revealed a mismatch between teachers’ practices &#13;
and learners’ needs, and less attention is paid to the factors that influence learners’&#13;
preferences on given WCF. The present study sought to explore learners’ views by &#13;
identifying the types of WCF provided by teachers of English as a Foreign Language &#13;
(EFL) to their learners; and establish the factors influencing such learners’ preferences &#13;
for the WCF provided by such teachers in the context of foreign language classrooms. &#13;
This case study involved 40 learners from the Kigamboni Navy Secondary School &#13;
sampled purposively, where document review and focus group discussion were used to &#13;
collect data, following Biber et al. In the taxonomy of WCF, the collected data were &#13;
transcribed, coded, and analyzed using thematic analysis methods. Findings revealed a &#13;
disagreement between teachers’ practice and learners’ views for given types of WCF. In &#13;
addition, learners’ opinions of the WCF provided by teachers were influenced by &#13;
learners’ self-perceived ability, amount of information, comprehensiveness of the WCF, &#13;
teachers’ tone, and the scope of the WCF. This study recommends that, in providing &#13;
WCF, teachers should focus on what works for learners. Also, teachers should focus on &#13;
factors influencing learners’ preferences for given WCF.
JOURNAL ARTICLE
</summary>
<dc:date>2023-06-01T00:00:00Z</dc:date>
</entry>
</feed>
